Saturday, June 7, 2025
  • Login
No Result
View All Result
Instagram
TNC
  • Home
  • Home
No Result
View All Result
TNC
No Result
View All Result

Wanaume hatarini zaidi kufa kwa magonjwa yasiyohusiana na maambukizi kuliko wanawake

by TNC
March 14, 2025
in Swahili
0
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

TAHARUKI: WANAUME WAPO HATARINI ZAIDI KUFA KWA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA

Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani inaonesha wanaume wapo hatarini zaidi kufa kwa magonjwa yasiyo ambukiza (NCDs), ikilinganishwa na wanawake. Takwimu zinaonesha kuwa vifo vitokanavyo na magonjwa haya vimeongezeka kutoka asilimia 34 mwaka 2019 mpaka 38.8 mwaka 2021.

Takwimu za mfumo wa taarifa za uendeshaji wa huduma za afya zinaonesha ongezeko la wagonjwa wa NCDs kutoka 2,626,107 mwaka 2019 hadi 3,140,067 mwaka 2021, sawa na ongezeko la wagonjwa 513,960 au asilimia 20.

Kwa kila wanaume 100,000 wa Tanzania, uwezekano wa kufa kwa magonjwa yasiyo ambukiza ni 557 ikilinganishwa na 498 kwa wanawake. Hatari hii inachangiwa na mambo mbalimbali:

• Vyakula visivyofaa
• Kutofanya mazoezi
• Uzito kupita kiasi
• Vitambi
• Presha
• Kisukari
• Matumizi ya pombe
• Uvutaji wa sigara

Magonjwa ya mfumo wa upumuaji yaliongoza kwa vifo, ikifuatiwa na malaria, kifua kikuu, Ukimwi, shinikizo la damu na magonjwa ya moyo.

Wataalamu wanaishiya wanaume waangalie afya zao mapema, kufanya vipimo mara kwa mara na kubadilisha mtindo wa maisha ili kupunguza hatari ya magonjwa haya.

Tags: hatariniKufakulikokwamaambukiziMagonjwaWanaumeWanawakeyasiyohusianazaidi
TNC

TNC

Next Post

Italy Emerges as Top Visitor Source to Zanzibar in February 2025, Highlighting Tourism Potential

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Popular News

  • Zanzibar’s Leadership Advocates for Streamlined Tax System to Enhance Economic Growth

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaohujumu miundombinu watachukuliwa hatua kali

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanaohujumu miundombinu watachukuliwa hatua kali

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wasiwasi juu ya Uchochezi wa Makada katika Jimbo la Katavi

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • Wanawake Wanaonyonyesha Washauriwa Kula Milo Mitano Siku

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Socials












Category

  • English
  • Swahili

About Us

TNC (Tanzania News Company) is the primary Source of News in English & Swahili in Tanzania

© 2025 TNC - Tanzania News Corporation

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In
No Result
View All Result
  • Home

© 2025 TNC - Tanzania News Corporation